Henrick Mruma ni msanii wa Injili kutoka Tanzania anayejulikana kwa nyimbo za imani, matumaini na kumtukuza Mungu. Kupitia nyimbo kama “Kaa Nami,” “Umenipendelea,” “Ujasiri Wangu Kama Simba,” na “Zaidi Ya Fahamu,” amekuwa chanzo cha faraja na msukumo kwa waumini wengi.
DOWNLOAD: Obby Alpha – Nani
Tarehe 20 Desemba 2025, Henrick Mruma ameachia wimbo mpya wa ibada “Yesu” akimshirikisha Melanie Anthony, kutoka kwenye EP yake Convo with Christ. Wimbo huu unaelezea upendo wa dhati kwa Yesu kwa maneno rahisi lakini yenye nguvu ya kiroho, ukiambatana na midundo ya utulivu ya Injili. “Yesu” ni wimbo wa sifa na tafakari ya kiimani, unaopatikana exclusive kwenye Side Makini Blog.
AUIDO | Henrick Mruma Ft. Melanie Anthony – Yesu | Download Mp3
Hizi hapa nyimbo za Mercy Chinwo;

Leave a Comment