Ibrahim Abdallah Nampunga, anayejulikana kama Ibraah, alizaliwa 3 Julai 1998 jijini Dar es Salaam. Msanii huyu wa Bongo Flava aliyesainiwa na Konde Music Worldwide alijizolea umaarufu mkubwa mwaka 2020 kupitia wimbo “Nimekubali” pamoja na EP yake “Steps.”
RELATED: Ibraah – Nimpende
Kupitia EP yake Karata 3, Ibraah ameachia wimbo “Upande,” akimshirikisha msanii wa Nigeria Skales, huku ukizalishwa na Kapipo. Wimbo huu una midundo ya kuvutia na sauti zenye hisia, ukionyesha mvuto wa mapenzi na ukomavu wa kisanii. “Upande” ni mfano mzuri wa uwezo wa Ibraah kushirikiana kimataifa na kuendelea kukuza Bongo Flava, exclusive kwenye Side Makini Blog.
AUIDO | Ibraah Ft Skales – Upande| Download Mp3
Explore More songs from Ibraah;

Leave a Comment