Abdallah Mustafa Kisamaki, maarufu kama Kisamaki, alizaliwa 12 Agosti 1995 huko Temeke, Dar es Salaam. Ni msanii mwenye vipaji vingi katika muziki wa Bongo Flava, uigizaji na uchezaji, aliyefahamika kupitia nyimbo kama “Hunitaki,” “Umenikaa,” na “Nanenepa.”
RELATED: Kisamaki – Pole
Tarehe 12 Januari 2026, Kisamaki ameachia wimbo mpya “Ukiniacha” akimshirikisha Justin Cukaz. Wimbo huu wa mapenzi unaelezea maumivu ya kuachwa, hofu ya kupoteza uaminifu, na udhaifu wa kihisia. Kisamaki anawasilisha hisia kali kupitia mistari yenye uzito, huku Justin Cukaz akiongeza ladha ya sauti laini inayoufanya wimbo uguse wengi. Wimbo unapatikana exclusive kwenye Side Makini Blog.
AUIDO | Kisamaki Ft Justin Cukaz – Ukiniacha| Download Mp3
Explore More songs from Harmonize:

Leave a Comment